Chelsea watashuka dimbani leo wakiwa na kumbukumbu na kipigo cha 2-0 kutoka kwa Spurs katika mechi ya raundi ya pili ya EPL iliyochezwa nyumbani kwa Tottenham.
Mechi nyingine itakuwa hapo kesho wakati Arsenal watakapokuwa wanawakaribisha Manchester City katika uwanja wa Emirates kuamua nani ataungana fainali na mshindi wa leo kati ya Chelsea na Spurs