Chanzo kimoja cha habari kutoka Hispania kimeripoti kuwa United wamesema wako tayari kutoa kiasi hicho cha pesa ilikumsajili nyota huyo wa kimataifa wa Brazil.
United wanataka kuendeleza rekodi yao ya kusajili wachezaji kwa bei ghari zaidi baada ya kufanya hivyo kwa Paul Pogba msimu uliopita na safari hii wameelekeza nguvu zao kwa Neymar ilikumfanya kuwa mchezaji ghari zaidi duniani.