Arsenal wameripotiwa kumtengea mshambuliaji huyo kitita cha £300,000 kwa wiki endapo atakubali kujiunga na klabu hiyo.
The Gunners wapo katika mipango ya kutafta mbadala wa Alexis ambaye mazungumzo ya kuongeza mkataba mpya yanaonekana kukwama mara kwa mara.