Madrid walitaka kumsajili nyota huyo kwa euro millioni 17 lakini waliamua kuachana naye na badala yake kuelekeza nguvu kwa Kalim Benzema.
Nyota huyo raia wa Poland alijiunga na Bayern kwa uhamisho wa bure baada ya mkataba wake kuisha na iliyokuwa timu yake Borrussia Dortmund.