Pogba ataukosa mtanange huo kutokana na maumivu ya misuli yanayo msumbua licha ya kuchezeshwa katika mechi dhidi ya Burnely siku ya jumapili.
Wengine waliokuwa wakihofiwa kuukosa mchezo huo ni Antonio Valencia na Ander Herrera lakini bosi wa United Jose Mourinho amebainisha kwamba wawili hao watakuwa fiti kuivaa City usiku wa leo